
Mke wa Waziri Mkuu Msaafu (Mh. Edward Lowassa),Mama Regina Lowassa (kushoto) akimsikiliza kwa makini Dada yake mkubwa wakati akizungumza machache kwenye hafla fupi ya kusherehekea kuadhimisha miaka 60 ya kuzaliwa kwake iliyofanyika leo nyumbani kwake,Masaki jijini Dar es salaam.

Mama Regina Lowassa akiwa na Marafiki zake wakati hafla hiyo ikiendelea.

Mama Regina Lowassa akipokea zawadi ya Kitabu kutoka kwa mmoja wa Marafiki zake waliohudhulia hafla hiyo.

Wajukuu wakimpongeza Bibi yao.

Mmoja wa wajukuu akitoa burudani.



Watoto wa Mh. Edward na Mama Regina Lowassa,Adda (kushoto) na Pamela Lowassa wakiimba wimbo maalum wa kumpongeza Mama yao kwa kutimiza miaka 60 ya kuzaliwa kwake.


Mama Regina Lowassa akikata keki.

Mama Regina Lowassa akimlisha Keki Mumewe,Mh. Edward Lowassa

Mh. Lowassa nae akalisha keki Mkewe.

Muda wa kufungua Shampein ukawadia.

Posted by
Art Gallery
Related Posts :
Sexy Pics Of @Ana_Montanaa We’re Sure You’ll Love! OMG!. Check out Analicia Chaves Looking Super Sexy In These Pics..WOW!… Read More...
K Michelle Cancels Her Tour To Reflect In South Africa.Some good news and some bad news for K Michelle fans.The bad news is if you missed the first part of… Read More...
Watoto wa Will Smith hulala na nyoka 10 chumbani, wengine hawajafungwa. Watoto wa Will na Jada Smith, Willow na Jaden wana mengi ya ndani ambayo wengi walikuwa haw… Read More...
NBA: No More Boobie! Keyshia Cole Set To Officially File For Divorce.This has been a long time coming it seems, but Keyshia Cole is finally doing the paperwork for the … Read More...
3 People Shot After SchoolBoy Q & Nas Concert Near Denver, Q Detained By Police. Video And Pics After The Jump A shooting following a concert by Nas, SchoolBoy Q and Flying Lotus a… Read More...
0 Response to "MKE WA LOWASSA ALIVYOSHEREHEKEA KUADHIMISHA MIAKA 60 YA KUZALIWA "
Post a Comment