Mshambuliaji wa Italia na AC Milan, Mario Balotelli akiwa na mpenzi wake, Fanny Neguesha aliyemvisha pete.
MSHAMBULIAJI wa Italia na AC Milan, Mario Balotelli ametangaza kumchumbia mpenzi wake, Fanny Neguesha kuelekea mchezo wao wa ufunguzi wa Kombe la Dunia dhidi ya England mjini Manaus.
Mchezaji huyo mtata wa AC Milan amethibitisha hilo katika ukurasa wake wa Instagram kwa kuposti picha ya mkono wa mpenzi wake huyo ikiwa na pete ya uchumba jana jioni.
Balotelli ameambatanisha picha na ujumbe usemao: "Amesema ndiyo.. Ndiyo muhimu zaidi katika maisha yangu. Hilo ndilo lilikuwa swali langu! Nakupenda, na furahia siku ya kuzaliwa kwao pia! Je t'aime my WIFE'.
Balotelli ameambatanisha picha na ujumbe usemao: "Amesema ndiyo.. Ndiyo muhimu zaidi katika maisha yangu. Hilo ndilo lilikuwa swali langu! Nakupenda, na furahia siku ya kuzaliwa kwao pia! Je t'aime my WIFE'.
Posted by
Art Gallery
Related Posts :
ZARI HASSAN "THE BIG BOSS LADY" DEMU ANAESUMBUA WASHUA NCHINI UGANDA Muda kidogo umepita Tangia Wema Sepetu kuchukua Tuzo kama Mlimbwende mwenye Mvuto zaidi hapa… Read More...
MWANA MFALME WA KUWAIT ABADILI DINI NA KUWA MKRISTOMtoto wa Mfalme wa Kuwait Prince Abdullah Al Sabah amebadirisha dini na kuingia Ukristo baada ya k… Read More...
UPDATES: MKUU WA MKOA AONGOZA WAOMBOLEZAJI KUUAGA MWILI WA GEORGR TYSON LEADERS CLUB HIVI SASAJeneza lenye mwili wa marehemu George Otieno 'Tyson' likiwa Viwanja vya Leaders tayari kwa shughuli … Read More...
RAIS WA URUGUAY NI RAIS MASKINI KULIKO WOTE DUNIANI HAPENDI MAKUU Rais ambae anaishi kwenye maeneo ya mashambani na anatoa sehemu kubwa ya kipato chake kusaidia… Read More...
MAANDALIZI YA KUAGWA KWA MAREHEMU GEORGE TYSON KWENYE VIWANJA VYA LEADES CLUB. Hapa ndipo jeneza lililobeba mwili wa Marehemu George Tyson litakapoka a kwa ajili ya kuagwa.… Read More...
0 Response to "MSAKATA KABUMBU BALOTELLI AMVALISHA PETE MPENZI WAKE"
Post a Comment