P SQUARE WANUNUA MAGARI MAPYA YA KIFAHARI

Peter Okoye wa P Square ameonesha magari mapya ya kifahari yaliyoingia hivi karibuni katika garage ya familia yao.

Magari mojaAmepost katika Instagram picha kadhaa zinazoonesha magari hayo na kuandika maelezo yanayoonesha ni magari yaliyoingia katika jumba la Square Ville hivi karibuni na sio magari yote wanayomili.

“Crazy Squareville…New Arrivals…Don’t worry God will do same for u… #hardwork”
Magari mapya aliyoonesha ni pamoa na Wrangler Jeep ya mwaka 2014 ambayo kwa sasa inauzwa zaidi ya $22,395 na Bentley ya mwaka 2014 ambayo inauzwa kuanzia $177,500.
magari mbilimagari tatu

0 Response to "P SQUARE WANUNUA MAGARI MAPYA YA KIFAHARI"

Post a Comment